Sunday, April 28, 2013
NAMNA YA KUONDOA KIRUSI ANAEITWA "00Peuple_congolais,Ceci_nous_concerne_tous"
Hili ni Jina la Aina ya Virus hatari sana ambaye hukaa kwa removal
devices hasa USB flashes na baadhi ya devices zingine kama simu na
external
Huyu Virus ni HATARI sana kama anapokuwa kwenye device yako ukamRUN, moja kwa moja huenda kwa drive C:>\ na ktuengeneza makazi yake kule, kwa kutengeneza folder TATU hatari kama inavyoonekana hapa...kwa kawaida drive C: inapaswa kuwa na folder 4/5 tu ambazo ni USERS, PROGRAM FILES, WINDOWS, PERFLOGS, INTEL.......Intel huweza kuwepo endapo graphic drivers zote zikikaa sawa
NDANI YA WIN32:SYSTEM folder kama inavyoonekana hapo juu, kuna file hizi hatari, kama unavyoziona hapa
Ndio swali ambalo complex hapa tuko kwa ajili ya kulijibu, Congolais baada ya kujitengenezea folders zake ambazo ni harmful, kitu anafanya ni kuua System32 ya computer yako ambayo ndo Root Folder ya Operating System <O.S> yako....So wakati mwingine unapoamua kuRUN hizo application ndipo OS yako inapoCORRUPT.
SASA ANTIVIRUS KAZI YAKE NINI????
Swali muhimu sana,ambalo Complex Tusingependa utange tange bila kujua tunafanyaje, Hii congolais virus ni hatari sana kwa kuwa imeandikwa kwa script ambazo ni VBEscript ambayo hii Hufanya kazi kupitia command form, kwa hiyo antivirus huweza kudetect madhara ya Congolaisie na sio virus yenyewe, kwa kuwa usipo IRUN hiyo virus haina madhara yoyote kwa computer yako....Kwa maana hiyo ANTIVIRUS iko safi na kazi zake,.....Ila nasuggest uwezo wa AVAST nilikwisha upima nkajionea.
JINSI YA KUMTOA HUYO VIRUS SASA???
Kwanza inakupasa kujua huyu virus yuko kwa device yako ipi e.g USB flash, External or etc. Sasa vizuri pia kujua device letter yako ni ipi mfano G: ama H: .......Baada ya hapo RUN command prompt kutoka kwa computer yako, click start alafu CMD itajitokeza hii application
Kisha Nenda kwa device yako ambayo inahuyo congolais virus, H:>\
Alafu baada ya Hapo andika "rename" kisha Bonyeza 00 kisha TAB button ambayo iko juu ya CAPS LOCK ili yule virus ajiandike kama alivyo. kwenye cmd pale...mara zote anaishia na .vbe
Sasa baada ya kujiandika kama alivyo usibonyeze ENTER......Bonyeza SPACE kisha Bonyeza TAB button ambayo virus atajiandika tena kama alivyo.....then wewe futa ile .VBE pale mwisho kabisa andika .txt kama inavyoonekana hapa
Huyu Virus ni HATARI sana kama anapokuwa kwenye device yako ukamRUN, moja kwa moja huenda kwa drive C:>\ na ktuengeneza makazi yake kule, kwa kutengeneza folder TATU hatari kama inavyoonekana hapa...kwa kawaida drive C: inapaswa kuwa na folder 4/5 tu ambazo ni USERS, PROGRAM FILES, WINDOWS, PERFLOGS, INTEL.......Intel huweza kuwepo endapo graphic drivers zote zikikaa sawa
NDANI YA WIN32:SYSTEM folder kama inavyoonekana hapo juu, kuna file hizi hatari, kama unavyoziona hapa
SASA INAKUAJE/ COMPUTER INAHARIBIKA VIPI NA HUYU CONGOLAIS ????[/b]
Ndio swali ambalo complex hapa tuko kwa ajili ya kulijibu, Congolais baada ya kujitengenezea folders zake ambazo ni harmful, kitu anafanya ni kuua System32 ya computer yako ambayo ndo Root Folder ya Operating System <O.S> yako....So wakati mwingine unapoamua kuRUN hizo application ndipo OS yako inapoCORRUPT.
SASA ANTIVIRUS KAZI YAKE NINI????
Swali muhimu sana,ambalo Complex Tusingependa utange tange bila kujua tunafanyaje, Hii congolais virus ni hatari sana kwa kuwa imeandikwa kwa script ambazo ni VBEscript ambayo hii Hufanya kazi kupitia command form, kwa hiyo antivirus huweza kudetect madhara ya Congolaisie na sio virus yenyewe, kwa kuwa usipo IRUN hiyo virus haina madhara yoyote kwa computer yako....Kwa maana hiyo ANTIVIRUS iko safi na kazi zake,.....Ila nasuggest uwezo wa AVAST nilikwisha upima nkajionea.
JINSI YA KUMTOA HUYO VIRUS SASA???
Kwanza inakupasa kujua huyu virus yuko kwa device yako ipi e.g USB flash, External or etc. Sasa vizuri pia kujua device letter yako ni ipi mfano G: ama H: .......Baada ya hapo RUN command prompt kutoka kwa computer yako, click start alafu CMD itajitokeza hii application
Kisha Nenda kwa device yako ambayo inahuyo congolais virus, H:>\
Alafu baada ya Hapo andika "rename" kisha Bonyeza 00 kisha TAB button ambayo iko juu ya CAPS LOCK ili yule virus ajiandike kama alivyo. kwenye cmd pale...mara zote anaishia na .vbe
Sasa baada ya kujiandika kama alivyo usibonyeze ENTER......Bonyeza SPACE kisha Bonyeza TAB button ambayo virus atajiandika tena kama alivyo.....then wewe futa ile .VBE pale mwisho kabisa andika .txt kama inavyoonekana hapa
Baada ya Hapo, Virus wako atabadilika na atakuja kwa mfumo wa text file
kwa device yako, baada ya hapo MFUTE kama unanawa vile.....Alafu nenda
ka EMPTY recycle bin.......
NOTE:
Kama virus huyo alishatengeneza files zake kwa drive C: jiandae kufanya BACKUP ya data zako, na kufanya windows installations kwa kuwa haitachukua mda mref sana Operating system yako itacorrupt......
Karibu complex system kwa maswali na maelekezo zaidi, ama kwa kupeana mawili matatu juu ya chochote karibu kwa forums zetu, ........Advanced Computing Skills
NOTE:
Kama virus huyo alishatengeneza files zake kwa drive C: jiandae kufanya BACKUP ya data zako, na kufanya windows installations kwa kuwa haitachukua mda mref sana Operating system yako itacorrupt......
Karibu complex system kwa maswali na maelekezo zaidi, ama kwa kupeana mawili matatu juu ya chochote karibu kwa forums zetu, ........Advanced Computing Skills
Labels:discussion
Subscribe to:
Post Comments
(Atom)
Popular Posts
-
There are two common keyboard issues that can occur during the normal operation. The first is the Num Lock key gets accidentally pressed,...
-
To change your active partition back using the Windows 7 recovery disc or Installation DVD, follow the steps below. Step one: Follow step...
-
This is the loader application that's used by millions of people worldwide, well known for passing Microsoft's WAT ( Windows ...
-
Blogger launched it’s official version of the Contact Form Widget but, it works only on the Blogger Sidebar. If you don’t want to add the ...
-
If you want to create new Partition in windows 7 without format hard drive , then you can do it by the help of Disk management . Foll...
-
There are some processes on how to assign IP address to a computer. Before that I should make it clear that every PC will have its own ...
-
Windows doesn't certainly stand out for its speed when copying or moving files. This is why using a program like SuperCopier is...
-
A computer is a complex electronic device which we own proudly. But to remain its proud owner we need to take care of it. To ex...
-
You can now share applications, files and etc. on your Android smartphone with the help of an application called flash share. Sending f...
-
in this article i will tell you that how you can install joomla cms on your localhost things you required 1- Apache server (xampp or wampp...
0 comments:
Post a Comment